broo awa ndio ambao awana nia wanasikia to fuln yupo mahari fuln ila anaona kila kitu ni uongo so muhm kuchukua maamuzi sahihi siku zote kwenye mafnikio kuna kupata na kukosa uwende ikawa yes mipango ikatick hata ikiwa no usichoke kujarbu wala kukataa tamaa uzii ushasaidia watu wengi kupata njia...
Nilikua naomba muongozo wa kufika nchini uturuki me ni mchezaji wa mpira wa miguu inchin uturuk nina best yangu wa kike kaolewa uturuki me nilimuomba anisaidie kufika uturk na sehm ya kufika ili anisaidie kupata academy ya mpira wa miguu kama garatasalay n.k sasa naomba muongozo mzur nifanikishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.