Walimu wa ajira ya 2019 May, katika halmashauri ya wilaya Ruangwa -lindi, hatujalipya pesa ya kujikimu tangu kuajiriwa kwetu.
Kilichotokea ni kwamba, tulivyoajiriwa na serkali mwezi mei 2019, serkali ilituma pesa za kujikimu ili tulipwe, lakini pesa hivyo, ikatokea sintofahamu na hazikulipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.