Recent content by khm2020

  1. K

    Polisi Acheni propaganda za miaka ya 1900

    Polisiccm,unafiri wanaakili timamu,ni nguvu pasipo akili
  2. K

    PostGE2025 Sema hii vita inayopigana Serikali ya Tanzania na Jeshi la Mtandaoni ni kubwa sana na mpaka sasa Serikali wameelemewa sana

    Stakehigh,mungu atakulipa kwa matendo yako mzuri ya kufurahia waliouwawa na serikali haramu ya mama yenu Samuya
  3. K

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Kadri wanavyotengeneza matukio kwa akili zao wanadhani yanawafavor ,ndio wanavyozidi kuangamia,usikubali kuitwa mjinga,si mmeona script waliyoitengeneza ni ujinga mtupu
  4. K

    PostGE2025 Unasukwa mpango wa kuwagombanisha Kenya na Tanzania ili maandamano yakose nguvu? Je, watafanikiwa?

    Kadri yanavyotengeneza tukio ,ndio yanavyozidi kuharibu kabisa
  5. K

    PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Hawa jamaa akili zao tunazijua,vile ndogo,yanatengeneza script ili yapate attention, pumbafu kabisa
  6. K

    PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Ukiambiwa wanatunga script, nchi kama tuna watu wapo kwenye idara ya usalama wajinga ivi,tunakazi kubwa kama taifa
  7. K

    PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Usmart unalandana na level yake elimu Haya majamaa ni mabumunda kabsa
  8. K

    PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Hawa jamaa,Kadri wanavyojaribu kufanya tukio,ndio wanavyozidi kujimaliza,sasa Trump ataingia mazima Ndipo anguko lao,sasa moja kwa moja limefika,ila ujinga wao ni ushindi wa watanganyika
  9. K

    PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Mkuu hawa jamaa ni wajinga sana,kifupi mawazo yao ni ya kiprimative,watake wasitake tutawang'oa
  10. K

    PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Acheni kutengeneza script za uongo,mnadhani sisi hatuna akili,sisi ni smart kuliko nyinyi,mnapofanya movement 3,sisi tuna fanya single movement, inayo cover movement 3 zenu Muwe mnapanga script za akili ndio mnakuja,hizi akili zenu za kiprimitive,mziache
Back
Top Bottom