Recent content by khamudumussa

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Tatizo la maji Mbezi Makonde Dar limetimiza mwaka mmoja sasa, maji yanatoka kwa nadra

    Tatizo la maji katika maeneo ya Mbezi Beach Makonde limefikia mwaka mmoja tangu Mei mwaka jana. Maji hutoka kila Jumanne na hayakai zaidi ya saa tatu. Yasipotoka siku hiyo, wananchi hulazimika kusubiri hadi wiki inayofuata. Pamoja na huduma hiyo kutokuwa ya uhakika, bili za maji zinazoletwa ni...
Back
Top Bottom