Tatizo la maji katika maeneo ya Mbezi Beach Makonde limefikia mwaka mmoja tangu Mei mwaka jana. Maji hutoka kila Jumanne na hayakai zaidi ya saa tatu.
Yasipotoka siku hiyo, wananchi hulazimika kusubiri hadi wiki inayofuata. Pamoja na huduma hiyo kutokuwa ya uhakika, bili za maji zinazoletwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.