Recent content by Khalid nassib

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Wanaohusika kudai fedha za ‘parking’ kwa kusimamisha magari barabarani, wamekuwa kero kwa Wananchi!

    Wilaya ya TEMEKE Kuna kampuni inaitwa AMANZI ambayo POPOTE ukikutwa umepaki gari wanakuchukua na inakua aidha (1)Uwapooze wale wanaokukamata(haipungui 50) (2)Wakupeleke kwenye yard yao wakaifungie gari yako mpaka utoe laki 2 na tena Kuna wagambo wenye magongo LAKINI wanasema wana kibali cha...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Sawa eneo la parking kituo cha treni za SGR kuwa za kulipia

    Kwa maon yangu mimi naona si Sawa eneo la parking pale kituo cha treni za mwendokasi kuwa za kulipia kwa wananchi wanaokwenda kupeleka au kupokea ndugu zao.SIO LAZIMA KILA HUDUMA WANANCHI WAWAJIBISHWE. Mbona zipo sehemu nyingi tunabanwa kulipia kodi?
Back
Top Bottom