Wakati mwingine hivi vitu vunashangaza Sana mbona Milango ya Viongozi wa juu wa TRA ipo wazi Why usitoe taarifa huko kuliko kuichafua Taasisi ya Watu mitandaoni kama hivi, tutaamini vipi kama ulichiandika kipo? Ulipaswa kutoa taarifa kwa meneja au Kiongozi yoyote kwenye hiyo ofisi
MATOKEO YA USAILI TRA KUTANGAZWA APRILI 25.2025
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa matokeo ya Usaili wa maandishi uliofanyika Machi 29 na 30 mwaka 2025 kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi TRA yatatangazwa Aprili 25 kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.