Tatizo sio kwamba sitaki kuweka bei ila najaribu ku avoid comment nyingine za watu ambazo hazina maana,watu wananipigia nawapa bei.maana unaandika kuchi anauzwa laki na nusu au zaidi mtu anajibu comment kwa kusema "kwan amekua ngombe". watu washaambiwa kuchi hafugwi kwa ajili ya nyama na ukifuga...
Siwezi poteza mda kubisha na watu wasiojielewa hizo ni tabia za kike ww ongea unachotaka kuongea mm hainisumbui kitu wala sipotezi mda kukujibu mm sina tabia za kike kama ww.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hakuna kuchi original wa bei hiyo labda kuchi wale waliochanganika na kuku wa kawaida,kifaranga original hata kwa bei hiyo hauwezi pata mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.