Kwangu mimi binafsi hili suala silioni kama ni la msingi sana kwa kuwa linaleta kumukumbu mbaya sana, huu wakati si muafaka kuliibua hili kwa kuwa hao waliomo madarakani watasiliza tu na kufunika kombe mwanaharamu apite.Nadhani linapaswa liwekwe kibindoni mpaka hapo Chama kingine kikiingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.