Habari zenu wa jf na MMU wenzangu??
Natumai nyote mko poa na harakati za hapa na pale naombeni tujadili hili swala la wanawake wengi ambalo linaweza kusababisha mapenzi kuvunjika
Binafsi nipo na uhusiano na bint fulani na kabla kumtongoza aliniambia yeye ndio alinipenda mwanzo...
Hii ni kama pale ww unafanya yako huna mpango na mtu ila mara unakuja kumshtukia yeye au mashoga zake wooote wamieacha kazi wanakuangalia mara mid mingine wanacheka cheka
Habari zenu wana Jf, hususani wadau wa MMU mko poa?
Hiki ni kisa ambacho kinanihusu mwenyewe niliwahi kuwa na mahusiano na binti flani tuliishi vizuri tu ila baada ya mda alibadilika na baada ya kumuuliza nini tatizo aliniambia kuwa alinikubalia tu kwa sababu nilimlazimisha.
Mimi nikaona...
Utakuta binti katongozwa na jamaa alafu anakwenda ku advertise kwa mashoga zake, shosti usimwone vile yule kaka mimi kashawahi kunitongoza, sasa usitongozwe wewe si mwanamke au? Tena mwengine anajisifia kanitongoza ila nimemkatalia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.