Njoo na ushaidi wa utajiri wa Lowasa hapa sio ngonjera na majungu. Nyie ndio mnatakiwa kupimwa akili zenu kama zipo sawasawa. Unakaa na kufikiria uandike uongo gani uupeleke JF hii ni hatari sana.
Inchi hii shida tupu! Wagonjwa wa akili wana zidi kuongezeka.... Bangi mbaya sana hii inanikumbusha jamaaa mmoja baada ya kukoleza bangi akawasha taa ya mafuta mchana jua linawaka akaanza kusema washikaji! washikaji ! washikaji mbona mnatembea bila taa wakati usiku wagiza nene hivi?
Tulikuwa tunaomba usiku kucha Mbowe arudi ulingoni naimekuwa inatosha kumshukuru mungu kwa hilo..... Wenye chama chetu tunajua kwa nini tunamtaka Mbowe
CCM always track CDM for what? I don't know! When CDM plant a seed CCM try to kill them before they grow like what they did to ZZK, but now they are introuble for Freeman Mbowe comming back to the bettle field....
Haya matamanio ya CHADEMA kufa yatabaki hivyo tu, Ulizeni ile nyara yataifa iliyo kimbia hifadhi ya wanyama pori kule Gombe ilisema hivi CHADEMA Mwisho 2013.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.