Recent content by kennytapwazy

  1. kennytapwazy

    JamiiForums Tanzania KERO Jeshi la Polisi Mbeya limeshindwa kudhibiti madereva bajaji wanaovunja sheria kwa makusudi?

    Imekuwa ni kawaida na mazoea makubwa sana sasa kwa madereva bajaji mkoa wa Mbeya kupakia abiria wawili mbele na wengine wakiwa wamening'inia na dereva kuendesha bajaji huku akiwa amechuchumaa tena main road kila siku na wahusika wapo tu wanawaangalia kila siku hawawachukulii hatua zozote zile...
Back
Top Bottom