Nina miaka 30 nakaa Dar, elimu yangu diploma ya business administration, mm ni mweupe wastani, mrefu wastani na mwembamba wastani, sina motto na wala sijawahi kuoa. Nafanya kazi japo sio nzuri sana. Nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo; asiwe mweusi, asiwe mnene wala mwembamba sana, asiwe...