Recent content by Kenii

  1. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    SEHEMU YA NNE Nina habari mbaya... Ameuawa jana usiku... Mwili wake umekutwa chini ya daraja... Muda, kwa Diane Stevens, ulikuwa umesimama. Alikuwa anatembeatembea kwenye nyumba yake iliyojawa kumbukumbu nyingi. Nyumba haikuwa na amani tena bila Richard. Haikuwa nyumba tena ila mkusanyiko wa...
  2. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    SEHEMU YA TATU Berlin, Ujerumani. Kamanda wa polisi, Otto Schiffer, akiwa na maafisa wa polisi wawili waliokuwa ndani ya sare zao, na msimamizi wa jengo lenyewe, Herr Karl Goetz, walikuwa wanaushangaa mwili wa maiti ya mwanamke- ukiwa uchi- uliokuwa umelala ndani ya beseni la kuogea lililokuwa...
  3. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    SEHEMU YA PILI Diane aliacha kutetemeka ilipofika alfajiri. Baridi aliyokuwa akihisi ilikuwa imehamia kwenye moyo na mifupa sasa. Ni kweli Richard alikuwa amekufa. Hakuna siku angewahi kumuona tena, au kusikia sauti yake, au kuhisi mwili wake ukigusana na wa Richard. Na ni kosa langu. Sikupaswa...
  4. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    ???
  5. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    Pamoja sana, mkuu. Nashukuru kwa kunialikia watu. Nimeshusha sehemu ya kwanza. Unaweza pitisha macho.
  6. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    Nashukuru sana kwa maoni yako. Sehmu ya kwanza ipo njiani inasubiria mods tu.
  7. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    SEHEMU YA KWANZA. Shauri la Anthony (Tony) Altieri lilikuwa linasikilizwa lilipo jengo la mahakama kuu iliyopo Manhattan. Chumba hicho kikubwa cha mahakama kilikuwa kimefulikwa na waandishi wa habari na watu mbalimbali waliokuja kujionea kilichokuwa kinaendelea. Kwenye meza ya mtuhumiwa...
  8. Kenii

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Kiza kinakutisha?

    UTANGULIZI Berlin, Ujerumani SONJA VERBRUGGE HAKUWA anafahamu kwamba leo ingelikuwa ni siku yake ya mwisho kuishi duniani. Alikuwa anatembea kwa taabu kuwapita watalii waliokuwa wamefurika kwenye barabara ya Unter den Linden. Usikurupuke, alijiambia. Lazima uwe mtulivu. Ile meseji ya ghafla...
Back
Top Bottom