Siku hizi Kuna ushabiki mwingi sana badala ya hoja,wazee wenye hoja wameamua kulikimbia jukwaa.
Watu wengi wanaandika utoto mwingi.
Maoni yangu,Lee Van Cliff
Mkuu Dotworld nakuomba ujitokeze hadharani na useme chochote juu ya migogoro hii miwili ya Ukraine na Iran.
Maneno Yako no chakula kikubwa kwetu.
Hata hivyo usalama wa Dunia uko mashakani tunaweza amka asubuhi tukakuta nyukilia imepigwa.
Naandika ,Lee Van Cliff
Wataalamu,wachunguzi, watabili, manabii na wachambuzi wengi wa masuala ya siasa za Dunia, uchumi na vita kutoka sehemu mbalimbali Dunia Hadi kufikia Leo siku ya kumi na saba wanaiona Marekani na Israel tayari zimeshindwa au zinaenda kushindwa katika vita Yao na Iran, wakati huohuo wanaiona Iran...
Ushabiki wake uko wapi hapo katika makala yake hii?
Maana ameandika maelezo yake na kuweka reference ya gazeti la huko huko marekani.
Kwa kifupi ni kama ametafasiri maelezo ya gazeti la Marekani kwa kiswahili.
Kama Marekani ingekua inafanikiwa vitani wala wasingeomba msaada wa nchi marafiki...
Ni kweli hata Mimi sioni shida yoyote,hapa tunachotaka ni update TU,na Kila baada ya sekunde moja kunatokea jambo jipya kwenye uwanja wa mapambano,kwa hiyo akiendelea kutupa taarifa hakuna ubaya wowote.
Ila kama mtu hapendi taarifa zake anaweza kuacha kusoma.
Ni kama vile mtu ulaumu CNN kwa...
Kubomoa rada kumi ndani ya siku 10 Sio mchezo.
Katika vita mtu akiharibu rada Yako ni sawa na kumpofua macho daktari bingwa wa upasuaji.
Iran destroys 10 US radars in region, says it will decide when war ends
Tuesday, 10 March 2026 7:08 AM [ Last Update: Tuesday, 10 March 2026 7:08 AM ]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.