Inasikitisha sana Kwa kweli.
Ikiwa aliekua Makamu wa RAIS habari zake wananchi hawazijui toka ametangaza kujiuzulu.
Kila kitu kiko kimya
Hii nchi hatuko salama aisee
Kaka Mkubwa uko sahihi kabisa.
Mbali ya wewe kua Mwandishi,mwanasheria lkn pia una elements za uanasaikilojia.
Nakubaliana na wewe kabisa kwa hapa,na nadhani utakubaliana na Mimi kua ushirika wowote usio wa haki mwisho wa siku hua kuna kusalitiana wenyewe kwa wenyewe...
Habari za maisha ndugu zanguni.
Naomba Kwa mtu au mtaalamu yeyoye anaeweza kinisaidia matibabu au dawa ya mawe kwenye nyongo bila upasuaji.
Nina mgonjwa wangu,ameenda hospitali amepewa dawa lkn Dakatari Kwa uzoefu wake amesema dawa zinaweza zisifanye kazi,hivyo njia nyingine ni kufanyiwa...
Siku hizi Kuna ushabiki mwingi sana badala ya hoja,wazee wenye hoja wameamua kulikimbia jukwaa.
Watu wengi wanaandika utoto mwingi.
Maoni yangu,Lee Van Cliff
Mkuu Dotworld nakuomba ujitokeze hadharani na useme chochote juu ya migogoro hii miwili ya Ukraine na Iran.
Maneno Yako no chakula kikubwa kwetu.
Hata hivyo usalama wa Dunia uko mashakani tunaweza amka asubuhi tukakuta nyukilia imepigwa.
Naandika ,Lee Van Cliff
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.