Recent content by kendy

  1. K

    JamiiForums Tanzania USA are not able to overcome S-300 air defense system

    Siku hizi Kuna ushabiki mwingi sana badala ya hoja,wazee wenye hoja wameamua kulikimbia jukwaa. Watu wengi wanaandika utoto mwingi. Maoni yangu,Lee Van Cliff
  2. K

    JamiiForums Tanzania USA are not able to overcome S-300 air defense system

    Mkuu Dotworld nakuomba ujitokeze hadharani na useme chochote juu ya migogoro hii miwili ya Ukraine na Iran. Maneno Yako no chakula kikubwa kwetu. Hata hivyo usalama wa Dunia uko mashakani tunaweza amka asubuhi tukakuta nyukilia imepigwa. Naandika ,Lee Van Cliff
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Kama yasivo kuhusu na wewe,waachie wanaojua
  4. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Wachambuzi wataweza kuelezea hii. Mtazame Scott Riter na Col Douglas Mc Gregory
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Ilikua unashindwa Nini kuchangia bila kutukana? Matusi hayana mmiliki,nakuonya.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Cha muhimu watu watoe facts licha ya upande waliopo.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Wataalamu,wachunguzi, watabili, manabii na wachambuzi wengi wa masuala ya siasa za Dunia, uchumi na vita kutoka sehemu mbalimbali Dunia Hadi kufikia Leo siku ya kumi na saba wanaiona Marekani na Israel tayari zimeshindwa au zinaenda kushindwa katika vita Yao na Iran, wakati huohuo wanaiona Iran...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Marekani Itaanguka Vibaya Sana Kwenye Vita ya Iran

    Sijakusikia ukiikemea marekani kwa kuivamia Irani,kua Iran ni nchi huru inayo haki ya kumiliki silaha kubwa nyukilia ikiwemo.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Picha: Kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi. Vita ya week 2 tu Trump ashakuwa hivi!!

    Marekani bila nyukilia ni hamna kitu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Trump aituhumu Iran kutumia AI kusambaza taarifa za uongo kuhusu mgogoro unaoendelea kati yao

    Inatisha sana unapomshuhudia mtu mzima akitoa machozi
  11. K

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Kwani shida yake Iko wapi hapo? Alichoandika ndicho magazeti yote Maarufu duniani yameandika.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Ushabiki wake uko wapi hapo katika makala yake hii? Maana ameandika maelezo yake na kuweka reference ya gazeti la huko huko marekani. Kwa kifupi ni kama ametafasiri maelezo ya gazeti la Marekani kwa kiswahili. Kama Marekani ingekua inafanikiwa vitani wala wasingeomba msaada wa nchi marafiki...
  13. K

    JamiiForums Tanzania US: Tumeiruhusu meli za mafuta ya Iran kupita katika mlango wa Hormuz

    Karuhusu meli za Iran ili kuepusha Bei za mafuta kupanda lkn kapiga kisiwa Cha Iran chenye visima vya mafuta. Wazungu wenye akili walikua zamani.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Israel asema waliokufa ni maelfu huko Israel

    Ni kweli hata Mimi sioni shida yoyote,hapa tunachotaka ni update TU,na Kila baada ya sekunde moja kunatokea jambo jipya kwenye uwanja wa mapambano,kwa hiyo akiendelea kutupa taarifa hakuna ubaya wowote. Ila kama mtu hapendi taarifa zake anaweza kuacha kusoma. Ni kama vile mtu ulaumu CNN kwa...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Ndege Tano za Marekani za kuweka mafuta kwa ndege nyingine zapigwa na Iran

    Kubomoa rada kumi ndani ya siku 10 Sio mchezo. Katika vita mtu akiharibu rada Yako ni sawa na kumpofua macho daktari bingwa wa upasuaji. Iran destroys 10 US radars in region, says it will decide when war ends Tuesday, 10 March 2026 7:08 AM [ Last Update: Tuesday, 10 March 2026 7:08 AM ]...
Back
Top Bottom