Recent content by kendy

  1. K

    JamiiForums Tanzania Alisema atajiuzuru rasmi tarehe 4 Agosti, Tumeshamsahau tayari.

    Inasikitisha sana Kwa kweli. Ikiwa aliekua Makamu wa RAIS habari zake wananchi hawazijui toka ametangaza kujiuzulu. Kila kitu kiko kimya Hii nchi hatuko salama aisee
  2. K

    JamiiForums Tanzania The rise of Tanzanian Mafia,

    Kaka Mkubwa uko sahihi kabisa. Mbali ya wewe kua Mwandishi,mwanasheria lkn pia una elements za uanasaikilojia. Nakubaliana na wewe kabisa kwa hapa,na nadhani utakubaliana na Mimi kua ushirika wowote usio wa haki mwisho wa siku hua kuna kusalitiana wenyewe kwa wenyewe...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada dawa ya mawe kwenye nyongo

    Habari za maisha ndugu zanguni. Naomba Kwa mtu au mtaalamu yeyoye anaeweza kinisaidia matibabu au dawa ya mawe kwenye nyongo bila upasuaji. Nina mgonjwa wangu,ameenda hospitali amepewa dawa lkn Dakatari Kwa uzoefu wake amesema dawa zinaweza zisifanye kazi,hivyo njia nyingine ni kufanyiwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Barua ya Nchimbi ilifichwa

    Kirahisi TU hivyo!
  5. K

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Kufa ni sehemu ya maisha ya binadamu,hakuna atakae Bali. Mbona Magufuli alishakufa?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tume kutoka kuzimu yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika

    Warioba anasema watu waliokufa oct25 ni wengi kuliko waliokufa vita ya Kagera.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Warioba: Nilimwambia Nchimbi CCM inakufa

    Ilishakufa muongo mingi iliyopita
  8. K

    JamiiForums Tanzania USA are not able to overcome S-300 air defense system

    Siku hizi Kuna ushabiki mwingi sana badala ya hoja,wazee wenye hoja wameamua kulikimbia jukwaa. Watu wengi wanaandika utoto mwingi. Maoni yangu,Lee Van Cliff
  9. K

    JamiiForums Tanzania USA are not able to overcome S-300 air defense system

    Mkuu Dotworld nakuomba ujitokeze hadharani na useme chochote juu ya migogoro hii miwili ya Ukraine na Iran. Maneno Yako no chakula kikubwa kwetu. Hata hivyo usalama wa Dunia uko mashakani tunaweza amka asubuhi tukakuta nyukilia imepigwa. Naandika ,Lee Van Cliff
  10. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Kama yasivo kuhusu na wewe,waachie wanaojua
  11. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Wachambuzi wataweza kuelezea hii. Mtazame Scott Riter na Col Douglas Mc Gregory
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Ilikua unashindwa Nini kuchangia bila kutukana? Matusi hayana mmiliki,nakuonya.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Cha muhimu watu watoe facts licha ya upande waliopo.
Back
Top Bottom