Just saying something is copied without hard proof inakatisha tamaa kiaina, the idea was inspired by google but nikasema i want to do it my own way and yes we will make it kwa kiswahili ila kiswahili for me its hard, thats y am starting to make it in english then i will find someone to translate...
Tunataka kurahisisha biashara ya nguo online, ila mwanzoni tumeanza na tatizo la kuwasaidia wafanya biashara kutangaza bidhaa zao kwa urahisi bila kuhitaji mamodo, wataweka picha zao na watapata kitu cha kupost ndani ya muda mchache ila bado tunafanya marekebisho kutokana na maoni ya watu tupo...
Mimi ni mwanafunzi wa UDSM ninasoma Computer Engineering.
Kwa muda nimekuwa nikiona jinsi teknolojia inavyobadilika kwa kasi, lakini biashara nyingi ndogo hasa za mavazi bado zinapata shida kuendana nayo.
Changamoto kubwa niliyoiona:
wauzaji wana bidhaa nzuri, lakini namna ya kuziwasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.