Recent content by Keloseko

  1. K

    Magufuli hakupendwa sana lakini aliaminiwa na Watu wengi iwe kwa mazuri yake au hata kwa yale mapungufu yake!

    Nilivyoona jina said nikajuwa ni tatizo jitaidi kusoma ata kidogo elimu Dunia utowe upumbavu kichwani
  2. K

    Magufuli hakupendwa sana lakini aliaminiwa na Watu wengi iwe kwa mazuri yake au hata kwa yale mapungufu yake!

    NDIYE THERMOMETER YA KUPIMA MAENDEREO YA RAIS YOYOTE Aingiae madarakani kuusu uzalendo wake kwenye maendeleo. Akikosea SS tunasema Bora magufuli. RIP magu umetuachia kipimo
  3. K

    Dkt. Emmanuel Nchimbi hakurejea Nyumbani

    Kinawatu awatakiwi kuludi nchini hoop walikosea wakastuka wakiludi wananguvu ndani kijani wanatakiwa waludi edha wameeka au nguvu Yao imedhoofishwa vya kutosha msalimie Mzee wa cuba
  4. K

    Benki Kuu Tanzania: Mlioficha Dola zirudisheni kwenye mzunguko

    Wewe ni mnufaika na dorra kupande ,achieni dorra mlizo zificha
  5. K

    Hongera Mama Samia kwa kuvunja genge la Wapigaji, Maharagwe ya January na chemba ya Yakobo

    Akuna tatizo la umeme ni mipango nenda au tuma mtu akaangali mto ruhaa ulivyo jaa wakati sio kawaida yake miezi Ii kubwa na maji mengi kiasi kile
  6. K

    Makamba na Maharage hawapo, sasa tuone kama matatizo ndani ya TANESCO yatafika mwisho

    Kalemani,kalemani, kalemani ingekuwepo sasaivi ingekuwa buludani, Sasa mchawi mpe mwanao akulelee sio Kwa awawaliondoa mwezi wa nne na maharage chai niatali wanaweza kubwa wameisha mpa kilema
  7. K

    Mdude: Ukiacha ukatili wake lakini Magufuli alikuwa ni Mzalendo. Kwanini wakati wa Utawala wake Umeme ulikuwa haukatiki?

    Anza kuangalia wameeza kujenga lini na walipata vibali lini. Kunammoja ameanza kujenga 2019 spo mama alikuwa boss kubwa
  8. K

    Mdude: Ukiacha ukatili wake lakini Magufuli alikuwa ni Mzalendo. Kwanini wakati wa Utawala wake Umeme ulikuwa haukatiki?

    Nenda mto ruhaa umejaa na nikiangazi mvua zimenyesha wapi kama sio maji ya mtera. Maana kiaangazi mto unakuwa na maji machache mno. Inashangaza maji kujaa
Back
Top Bottom