NDIYE THERMOMETER YA KUPIMA MAENDEREO YA RAIS YOYOTE Aingiae madarakani kuusu uzalendo wake kwenye maendeleo. Akikosea SS tunasema Bora magufuli. RIP magu umetuachia kipimo
Kinawatu awatakiwi kuludi nchini hoop walikosea wakastuka wakiludi wananguvu ndani kijani wanatakiwa waludi edha wameeka au nguvu Yao imedhoofishwa vya kutosha msalimie Mzee wa cuba
Kalemani,kalemani, kalemani ingekuwepo sasaivi ingekuwa buludani, Sasa mchawi mpe mwanao akulelee sio Kwa awawaliondoa mwezi wa nne na maharage chai niatali wanaweza kubwa wameisha mpa kilema
Nenda mto ruhaa umejaa na nikiangazi mvua zimenyesha wapi kama sio maji ya mtera. Maana kiaangazi mto unakuwa na maji machache mno. Inashangaza maji kujaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.