Recent content by Keitaro Yamaguchi

  1. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Alimwambia jana mkuu, kama hukuona.Bado tu Nos kujua kuwa Ayanda ni kaka yake wa damu, hpo ndo patakapokuwa patam wakati alishagegedwa.
  2. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Mxo naye kawa nunda kwelikweli, inawezekana kuna kitu anajua. Maana sasa anamuita Xulu jina lake halisi et Ghabhashe, siyo la heshima kama mzazi wake. Na Ayanda naye anamuita Xulu Baba,
  3. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Nahisi Mk ndo alim-shoot, na target yake ilikuwa ni Mxo. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  4. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Na majibu ya DNA yanatoka kwa muda gni baada ya vipimo? Maana inaonekana kama majibu yalitoka yakionesha kuwa mimba ilikuwa ya Ayanda kutokana na huzuni alokuwa nayo wakati Nombuso alikwenda kwa Mxo na kumwambia kuwa mimba ya mtoto wao imetoka. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  5. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Yaani hapo hata mmi nahiuliza nashindwa kupta jibu kwa kweli. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  6. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Xulu anajua kuwa Ayanda ni mtoto wake, na Mxo syo wake. Je, kama ndo alim-shoot Nombuso anataka siri abaki nayo yeye tu? Nahisi yajayo yana msisimko kwelikweli. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  7. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Hilo tukio la kukabidhiwa begi la Sindi sikuliona mkuu, ndo maana nikahoji. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  8. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Hiyu Nosipho naye malaya, Zweli naye ameshakula Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  9. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Na kama ni Mk basi target yake ilikuwa ni Mxo, rejea siku Nosipho anatandikwa risasi. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  10. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Yawezekana, maana ndo alikuwa anapangua mizigo yke kwenye begi ndo akakumbana nazo. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  11. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Mbona kama Nombuso alikuwa bado town, Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  12. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Sielewi zile nyaraka za hospital kuhusu uhalisia wa wazazi wa Ayanda na Mxo Nombuso alizipata wapi, maana ndo alizomaliza kusoma tu ile anataka kuanika ukweli akatandikwa risasi. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  13. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Kumbe Ayanda alikuwa sahihi. Mimba ilikuwa ya Mxo. Kuhusu Ayanda kumtandika risasi siyo kabisa. Kumbuka wakati anatandikwa risasi Ayanda na Nos ndo walikuwa wanamaliza kvunja amri ya 7 Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  14. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Yawezekana aliyeshoot Nombuso ni Sbu kwa kutumiwa na xulu, kwa sababu walikuwa wanawafuatilia wakiwa kwenye gari na walimpita Ayanda. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
  15. Keitaro Yamaguchi

    Uzalo Special Thread

    Akiwa kwenye eneo la biashra ya akina mxo akisimlia kuhusu mimba kutoka. Na alimwambia mxo kuwa mimba ilikuwa yake. Mxo alijaa upepo sana akafikia kumtimua pale. Nombuso alitska kumwambia ukweli kuhusu yeye (Mxo) na Ayanda ndo akapigwa risasi. Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom