Kaka tumehangaika sana yani...Unaenda kwa mwalimu mkuu anakwambia nenda kwa engineer,,,unaenda kwa engineer kila siku anakwambia kesho huku wao ndio wahusika wa kupitisha ili tulipwe pesa zetu,,Mbaya zaidi mikataba yetu inasema tulipwe mara tu baada ya kukabidhi na tayari yameshatumika kwa miezi...
Habari wadau,
Naomba mtusaidie kufikisha malalamiko yetu mafundi wa madarasa Maarufu kama madarasa ya Mama Samia(UVIKO 19.
Tumemaliza haya madarasa toka december lakin hatujalipwa pesa zetu za mwisho paka leo.
Pamoja na mikataba yetu kuelekeza tulipwe pesa zetu mara baada ya kukabidhi kazi...
Karibu kwa huduma zifuatazo:
1.Ramani za nyumba(kuanzia 250,000/=).
2. Makadirio ya gharama za ujenzi(B.O.Q)
3. ufatiliaji wa Vibari vya ujenzi
4. Ujenzi na usimamizi.
Karibu nikuhudumie...
Wasiliana na mimi kwa 0712006246/0687732666
Nyumba hii inategemewa kujengwa Mbezi -Mpiji kiwanja ni 20*20..Nyumba ina upana wa wa 10 M na urefu wa 10M...Kiwanja kinabaki na nafasi ya kutosha kama unavyoona hapo...Kwa huduma zote za ujenzi karibu tukuhudumie..
Kila kazi tukimaliza huwa tunatuma report kwa mteja ,,,Mfano hii ni report ya Grill na blandering tuliofanya kwenye ghorofa moja Mbweni...Picha nilituma kwenye post yangu ya Grill iliyopita...Karibu tukuhudumie kitaalamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.