Kama angeondoa hofu na kuwa na Imani na kufanya kazi katika wazo hilo angemuowa na Dunia ingeshangaa maana ndoto kubwa ndizo zinazoleta maajabu zikitimia
UTANGULIZI
NDOTO NI NINI?
Ndoto ni taaswira, mawazo, tamaa au hisia ambazo zinapita katika akili yako. Mara nyingi Sana ndoto ni kitu unachoweza kukitengeneza katika taaswira yako kulingana na malengo yako ya baadae. Ndoto ni kitu unachokitamania kukitimiza siku moja katika maisha yako. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.