Recent content by Kayumba Barakah

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Hello Mwenzenu upweke utaniua Natafuta mwanamke ambae tutaenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume. Sifa zangu; Umri -30yrs Mjasiliamali Mkristo Sifa za mke: Umri 27yrs na kuendelea Mkristo Mwenye hofu ya Mungu Mwenye upendo wa dhati Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi...
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza(mke)

    Mimi ni kijana wa miaka 32, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Karibu PM Sifa za mwenza ninayemtaka 1. Awe na umri kuanzia miaka 28 na kuendelea. 2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi. 3. Awe...
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba/ mwenza

    Ndy unaweza kupata
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

    Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex. Mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke. Hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika. Kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo...
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba/ mwenza

    Mimi ni kijana wa miaka 30, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Sifa za mwenzi ninayemtaka 1. Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea. 2. Dini yoyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi. 3. Ajitegemee kiuchumi na awe...
Back
Top Bottom