Recent content by Kayc

  1. K

    GE2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

    Godbless Lema kiranja mkuu arusha mjini, hakuna kuchakachua wala nini, geneva ya afrika ndo hiyoo inapeperushwa na chadema, Batilda kapumzike mama na El wako
  2. K

    GE2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

    wananchi wenzangu Lema amechukua jimbo la arusha na matokeo yameshatangazwa, EL na Batilda wake chali
  3. K

    GE2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

    we we weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, I think you are jokin, huo utakuwa ni uchakachuaji kuliko wa mafuta ya gari la muheshimiwa mkubwa
  4. K

    GE2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

    mungu ibariki arusha iwe na amani, kwa hali halisi ccm mambo magumu wanachelewesha ili wachakachue kwa urahisi, jamaa wamekomaa nao wamechoshwa na ahadi hewa
Back
Top Bottom