Kwenye ziara zile ukiwasikiliza wananchi hawana kero ya Katiba wala uchaguzi. Kero zao zinahusu wafugaji na wakulima, ardhi, kupokonywa urithi na dugu, barabara, maji, umeme, nk. Wavimbamacho wetu huku mjini wanasema "wananchi" wanataka hiki wanataka kile kana kwamba walifanya kura ya maoni...