Recent content by kavulata

  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Huwezi kiwakabidhi wavuta misuba, nchi otachomwa na kugeuzwa mahame. Vijana wamenyooka, ukiwaita kwenye maandamano wanaingia uvunguni kujificha na kuiacha mitaa ikiwa meupe peee. Wamegundua waliingizwa mkenge na wahuni.
  2. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Tume itakuja na majibu ya maswali yako uchwara. Tutajua nani alikuwa nani na alifanya nini wakati wa vurugu
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Duu uko nchi gani wewe, kazi yenu mnasikiliza bongo flava tu kutwa nzima hamjui kinachotokea nchini https://www.youtube.com/live/5g9jC1GuadI?si=N_7QOJ7JGJzEo_6-
  4. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Duuuu, lini iyo. Sema wavuta misuba wataamka. Lete sera zinazosisimua na bora kuliko hizi tulizozizoea
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Hata bila maridhiano watu watayasahau tu. Uzuri wenyewe watanzania wanajua kwanini watanzania wenzao walikufa. Ukisikia mtu anaeilaumu serikali kwa vifo vile ujue alikuwa sehemu ya vurugu zile; ama kwa kuchochea, ama kwa kupanga, ama kwa kutoa mafunzo, ama kwa kugharamia, ama angekuwa mnufaika...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Hakuna aliyejuu ya sheria, kama unamjua kiongozi aliyeiba mali zetu kwanini kwa kushirikiana na TLS na chadema hamuwapeleki mahakamani wakajibu tuhuma zao?. hayo unayosema ni maneno ya vijiweni tu, huna ushahini kuhusu nani kaiba, kaiba nini, kaiba kiasi gani na kaibaje. Ndugu yangu naandika...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Waliuliwa manabii na mitume sembuse hawa waliokuwa wanaichoma nchi yao makusudi kwa kushawishiwa tu? Niambie hawa vijana waliofanya vurugu wangefaidika na nini kama serikali ingeanguka? Ambao wangefaidi wangekuwa watoto wa Lissu, Heche, Mnyika, Maria Sarungi, Mange na wafadhili wao.
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Mwenye nchi hawawezi kuichoma nchi yao, watakaa wapi? Waliouliwa ni mungiki tu ambao hawana tofauti na majangiri waliokuwa wanaua tembo wachukue meno yao wakauze. Adhabu zao zinafanana.
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Eti ni swala la muda tu, kwa sera zipi mlizonazo. Siku ya vurugu ndio mligundua kuwa kumbe hamna watu wanaowaunga mkono, ni wavuta ndumu tu. Watu wenye akili hawakujitokeza ikasababisha kazi ya kuwadhibiti ikawa nyepesi sana. Hebu fikiria ingekuwaje kama nchi nzima mpaka vitongojini wangeitikia...
  10. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Walikufa kibwege. Hawakufanya hesabu kabla ya kukubali ujinga wa Lissu na wenzake. Wangepata takwimu kwanza ya idadi ya kambi za majeshi. idadi ya polisi, idadi ya ofisa usalama, idadi ya polisi, askari magereza, askari wa uhamiaji na zimamoto, makomandoo walioko Tanzania na idadi ya askari wa...
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Utakufa, mwambine mwanao Junior hivyo kuwa wizi mbaya hasa wa mali ya umma.
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Iko hivyo kaka, hata yule aliyetaka kumuua Trump risasi yake iliishia kumuua mtu mwingine kabisa asiyehusika. Hayo yametokea kwenye nchi kubwa kaabisa yenye utaalumu mwingi wa kisasa, sembuse sisi. Kinachotakiwa tuache fujo kwakuwa nyasi ndizo zinazoharibika yanapopambana mafahari wawili. Sisi...
  13. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Nilikuwa na watoto nikawakemea wasishiriki kama vile Heche alivyokemea wa kwake wasishiriki.
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    matusi ndiyo dalili kuu ya kuishiwa na kushindwa. Mkiitisha maandamano sisi tunabaki nyumbani kwetu tunagegedana na wenza wetu ili risasi zisiende kwa watu wema. Tz inasongambele nyie endeleeni na maombolezo ya waliokufa kwa uzembe wa kuharibu mali za watanzania bila sababu za msingi. Mlidhani...
  15. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    H Hao ni lazima watalipwa tu kwakuwa ni serikali iliyopewa jukumu la kulinda ustawi wa raia, mali za umma na watu na mali zao. Baada ya kuwaua wahalifu sasa lazima fidia ya uhalifu itolewe. Someni katiba. Wenye bima watalipwa na bima zao na ambao hawana bima kifuta machozi. Na hayo ndio...
Back
Top Bottom