Recent content by kavulata

  1. kavulata

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Yaani kwa idadi ya watu waliouliwa inayotangwa na chadema kama ingekuwa ya kweli basi tungeona matulubai mengi nchi nzima ya misiba ya watu hao waliouliwa, maana nyumba yenye msiba haijifichi bana. Hapa mtaani kwetu aliuliwa kijana mmoja na polisi ambae alikuwa haandamani, lakini kosa lake...
  2. kavulata

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Kaka mm niko vizuri sana kwenye upande huo. Kiongozi bora ni yule ambae ni kiongozi wa yeye mwenyewe, familia, ukoo na jamii inayomzunguuka kabla ya kuwa kiongozi wa umma.
  3. kavulata

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Waliuliwa Mungiki toka Kenya. Eti wakenya waliletwa kuja kuwafundisha watanzania namna ya kuchoma yao. Watu wanalinganisha Kenya na Tanzania kimakosa. Kenya imeuzwa wakati tz ni mali ya watanzania. Wakenya wanahangaika huku na huko wakitafuta maisha waliyoporwa na wazungu na mabwanyenye weusi...
  4. kavulata

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Hatuendi ikulu kwa kupindua, maana hiyo ni njia hatari sana inayohitaji hesabu nyingi. Walisusia uchaguzi ili waende Ikulu kwa mapinduzi. Kaka sio rahisi kiasi hicho. Ni mazombie tu ambao wataamini porojo za kwamba yale hayakuwa mapinduzi. Miscalculated (failed) cue. Yaani ulisema mwenyewe...
  5. kavulata

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Unaongea ujinga. Mwagala alipaswa kuwa na takwimu juu ya walipakodi wangapi ni mashabiki wa Yanga au Simba ndio aje na upuuzi wake ule. Pia anatakiwa kujua kwanini TRA imeamua kumiliki timu ya mpira wa miguu. Viongozi wa TRA walipaswa kupitishwa kwanza kwenye malengo ya kuanzishwa kwa timu ya...
  6. kavulata

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Itakulazimu uende TRA ukawaulize ni kwanini waliamua kutumia kodi zetu kuwa na timu ya mpira. Hapo ndipo utakuja kulinganisha na uhovyo wa akina Christine Mwagala kama unaendana na vision na mission ya timu ya TRA.
  7. kavulata

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    JKT ni timu ya watanzania wote, lakini umuhimu wake sio kama wa TRA. Malengo ya JKT sio kuhamasisha vijana wajiunge na JKT maana hakuna uhaba wa vijana kujiunga na JKT. Lakini TRA ni tofauti sana.
  8. kavulata

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Kuna tofauti kati ya Pamba fc na TRA fc. TRA fc ni timu kwaajili ya visibility ya mamlaka ya kodi nchini, yenye malengo ya kuwahimiza na kuwakumbusha watu kulipa kodi. Viongozi wa timu hii wanapaswa kulijua hili. Hii sio timu kama ya Simba au Yanga ambazo zinahasimiana nje na ndani ya uwanja...
  9. kavulata

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Kodi lazima ilipwe na watu wote wa dini zote, makabila yote na hata mashabiki wa timu zote. Inafahamika kuwa taifa la Tanzania limegawanyika kati ya wanaume na wanawake, wakristo na waislam na pia mashabiki wa Simba na Yanga. Hii inamaanisha kuwa kwenye jambo la kitaifa usiingize jinsia...
  10. kavulata

    Simba wana TFF Yanga wana Mungu, wote sare

    Hakuna mtu mwenye akili timamu ambae hajui kwamba TFF na Bodi ya ligi wana upogo kwenye kupanga ratiba za mechi, waamuzi na adhabu mbalimbali. Upogo wao huu haupangui matokeo ya ligi badala yake unazidi kuidhoofisha timu yao.
  11. kavulata

    TFF tofautisheni ligi yetu na zile za Ulaya kwa mengi, mazingira ni tofauti

    Hoja yangu hii sio malalamiko ya timu iliyoonewa, bali udodoki wa viongozi wetu wa mpira ambao wanaiga kila kitu kutoka mashirikisho mengine ya mpira bila kuiga pia mazingira yanayosapoti matukio hayo huko kwao. Udodoki huu wa viongozi wetu hausaidii mpora wetu kwenye ligi na hata kimataifa...
  12. kavulata

    TFF tofautisheni ligi yetu na zile za Ulaya kwa mengi, mazingira ni tofauti

    Sio lazima kupunguza timu, bali unaweza kuondoa ushiriki wa timu kwenye mashindano yasiokuwa ya lazima yanayorefusha ligi bila sababu. Pili, bodi ya ligi ipange ratiba kwa kuzingatia hali ya viwanga mechi itakapochezwa na umbali timu itatakiwa kusafiri badala ya kupanga ratiba ya jumlajumla tu...
  13. kavulata

    TFF tofautisheni ligi yetu na zile za Ulaya kwa mengi, mazingira ni tofauti

    Masaa 72 ya Ulaya na masaa 72 ya Tanzania ni tofauti kabisa. Think globally Act locally. Masaa 72 ya kucheza baina ya mechi yamezingatia vitu mbalimbali ambavyo Tanzania havipo. Baadhi ya vitu hivyo ni pamoja na: 1. Ubora wa viwanja vyao: Wachezaji hawaumii sana mara kwa mara kwasababu za...
  14. kavulata

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Kwenye ziara zile ukiwasikiliza wananchi hawana kero ya Katiba wala uchaguzi. Kero zao zinahusu wafugaji na wakulima, ardhi, kupokonywa urithi na dugu, barabara, maji, umeme, nk. Wavimbamacho wetu huku mjini wanasema "wananchi" wanataka hiki wanataka kile kana kwamba walifanya kura ya maoni...
Back
Top Bottom