pesa zinazopita mikoni mwa watu zinapunguzwa na matumizi ya digital payments (M-PESA, YAS, AZAM PESA, KADI ZA BENKI, lipa namba, NK), watu wanabakia mikononi za kulipia tu daladala, vifurushi vya mihogo mimichi na karanga na vitu vichache kwa mangi. Nimejenga nyumba ikamalizzika kwa kulipa kwa...