Huwezi kiwakabidhi wavuta misuba, nchi otachomwa na kugeuzwa mahame. Vijana wamenyooka, ukiwaita kwenye maandamano wanaingia uvunguni kujificha na kuiacha mitaa ikiwa meupe peee.
Wamegundua waliingizwa mkenge na wahuni.
Duu uko nchi gani wewe, kazi yenu mnasikiliza bongo flava tu kutwa nzima hamjui kinachotokea nchini
https://www.youtube.com/live/5g9jC1GuadI?si=N_7QOJ7JGJzEo_6-
Hata bila maridhiano watu watayasahau tu. Uzuri wenyewe watanzania wanajua kwanini watanzania wenzao walikufa. Ukisikia mtu anaeilaumu serikali kwa vifo vile ujue alikuwa sehemu ya vurugu zile; ama kwa kuchochea, ama kwa kupanga, ama kwa kutoa mafunzo, ama kwa kugharamia, ama angekuwa mnufaika...
Hakuna aliyejuu ya sheria, kama unamjua kiongozi aliyeiba mali zetu kwanini kwa kushirikiana na TLS na chadema hamuwapeleki mahakamani wakajibu tuhuma zao?. hayo unayosema ni maneno ya vijiweni tu, huna ushahini kuhusu nani kaiba, kaiba nini, kaiba kiasi gani na kaibaje.
Ndugu yangu naandika...
Waliuliwa manabii na mitume sembuse hawa waliokuwa wanaichoma nchi yao makusudi kwa kushawishiwa tu? Niambie hawa vijana waliofanya vurugu wangefaidika na nini kama serikali ingeanguka? Ambao wangefaidi wangekuwa watoto wa Lissu, Heche, Mnyika, Maria Sarungi, Mange na wafadhili wao.
Mwenye nchi hawawezi kuichoma nchi yao, watakaa wapi? Waliouliwa ni mungiki tu ambao hawana tofauti na majangiri waliokuwa wanaua tembo wachukue meno yao wakauze. Adhabu zao zinafanana.
Eti ni swala la muda tu, kwa sera zipi mlizonazo. Siku ya vurugu ndio mligundua kuwa kumbe hamna watu wanaowaunga mkono, ni wavuta ndumu tu. Watu wenye akili hawakujitokeza ikasababisha kazi ya kuwadhibiti ikawa nyepesi sana. Hebu fikiria ingekuwaje kama nchi nzima mpaka vitongojini wangeitikia...
Walikufa kibwege. Hawakufanya hesabu kabla ya kukubali ujinga wa Lissu na wenzake. Wangepata takwimu kwanza ya idadi ya kambi za majeshi. idadi ya polisi, idadi ya ofisa usalama, idadi ya polisi, askari magereza, askari wa uhamiaji na zimamoto, makomandoo walioko Tanzania na idadi ya askari wa...
Iko hivyo kaka, hata yule aliyetaka kumuua Trump risasi yake iliishia kumuua mtu mwingine kabisa asiyehusika. Hayo yametokea kwenye nchi kubwa kaabisa yenye utaalumu mwingi wa kisasa, sembuse sisi. Kinachotakiwa tuache fujo kwakuwa nyasi ndizo zinazoharibika yanapopambana mafahari wawili.
Sisi...
matusi ndiyo dalili kuu ya kuishiwa na kushindwa. Mkiitisha maandamano sisi tunabaki nyumbani kwetu tunagegedana na wenza wetu ili risasi zisiende kwa watu wema.
Tz inasongambele nyie endeleeni na maombolezo ya waliokufa kwa uzembe wa kuharibu mali za watanzania bila sababu za msingi. Mlidhani...
H
Hao ni lazima watalipwa tu kwakuwa ni serikali iliyopewa jukumu la kulinda ustawi wa raia, mali za umma na watu na mali zao. Baada ya kuwaua wahalifu sasa lazima fidia ya uhalifu itolewe. Someni katiba. Wenye bima watalipwa na bima zao na ambao hawana bima kifuta machozi. Na hayo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.