Recent content by kavulata

  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ushauri: Tangazeni idadi ya Vifo, na Ikibidi Hata Idadi ya Uongo tuu ili Wanyamaze!. Gazeti la “The Sun” limeiita Tanzania HOUSE OF BLOOD

    Sasa hivi si unawasikia wanasema nilikuwa ndani nilihusikaje?. Maana yake baada ya kukamilisha kila kitu wakafanya kila kitu wanachojua lazima watakamatwa kuwekwa ndani ili siku ya kukinukisha vibaya sana wasiwemo kwenye vurugu na kuitumia hiyo kama utetezi wao wa kijinga.
  2. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ushauri: Tangazeni idadi ya Vifo, na Ikibidi Hata Idadi ya Uongo tuu ili Wanyamaze!. Gazeti la “The Sun” limeiita Tanzania HOUSE OF BLOOD

    NDio maana nikasema mna mihemko isiostahili kuwa hata diwani. Mtu ana bodaboda, dumu la petrol na viberiti vya kuichoma nchi, utamkamate umfunge pingu? Tena watu hao wametawanyika mji mzima na nchi nzima? Tz ina polisi wangapi wa kutosha kulinda upigaji kura na wahuni wanaoichoma nchi. Solution...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ushauri: Tangazeni idadi ya Vifo, na Ikibidi Hata Idadi ya Uongo tuu ili Wanyamaze!. Gazeti la “The Sun” limeiita Tanzania HOUSE OF BLOOD

    Mbona hukushiriki kwenye vurugu kama kweli wewe unakerwa, wacha uongo wa kike na woga. Dec9 yaliitishwa mengine hukwenda pia. Tukutane 2030 Mungu akipenda, nyingine ni porojo tu.
  4. kavulata

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ushauri: Tangazeni idadi ya Vifo, na Ikibidi Hata Idadi ya Uongo tuu ili Wanyamaze!. Gazeti la “The Sun” limeiita Tanzania HOUSE OF BLOOD

    Ukweli kuna watu naona kama wanaongea upupu tu humu. Tumewapa polisi bunduki na risasi za kuua watu sio tembo. Hivi kama polisi hatamfyatulia risasi mtu anaefunja ATM, kuchoma vituo vya polisi na kupora silaha na sare za polisi wanataka kumfyatulia risasi nani mwingine?. Yaani wewe askari...
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Hapa wanakosea sana. Lazima taifa lifanye mapinduzi kwenye jambo moja kwanza kabla ya kwingine. Sekta ambayo inabeba vijana wengi ni kilimo, na bahati nzuri ardhi kubwa ya kilimo tunayo na masoko ya ndani na nje yapo. Hata hela ya goli la mama ilipaswa kuelekezwa kwa kijana yupi amezalisha mazao...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Ningekuwa mimi hizo bil 200 zote ningezipeleka kwenye ardhi ya kilimo vijijini. Vijana wa vijijini wawe na fursa pia za uhakika kuliko wa mijini ili iwe sumaku ya kuwatoa vijana wanaozurura mijini. Maisha ya mijini duniani kote hata nchi zilizoendelea yamefanywa yawe magumu sana kwa vijana...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Wanajiandalia mabomu yanayosubiri muda ufike yawalipukie. Wanadhani kuwaacha vijana wawe barabarani ni kuwasaidia. Siku hizo barabara zikijaa n vijana wakakosa nafasi watagundua makosa yao na kutafuta nani kawashawishi.
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Kazi ya serikali ni kuwafanya walioko kwenye kilimo wawe na maisha kuliko walioko barabarani. Trillions and trillions za pesa zinatakiwa zikwekezwe kwa vijana vilioko kwenye kilimo, ufugaji na uvuvi kabla ya ardhi hii haijachukuliwa na vijana wa Ruto, Kagame na wengine kwa mwamvuli wa mtangamano...
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    pesa zinazopita mikoni mwa watu zinapunguzwa na matumizi ya digital payments (M-PESA, YAS, AZAM PESA, KADI ZA BENKI, lipa namba, NK), watu wanabakia mikononi za kulipia tu daladala, vifurushi vya mihogo mimichi na karanga na vitu vichache kwa mangi. Nimejenga nyumba ikamalizzika kwa kulipa kwa...
  10. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Kaka haiwezekani viongozi wetu wazidiwe uwezo kwa kiasi kikubwa na akina Nyerere katika mambo mengi. Nyerere aliwataka vijana waachane na biashara zisizokuwa na tija kwao na taifa kama zile za kuuza kahawa, maji ya kandoro, karanga na mafesi mijini na kwenda vijijini ambako kuna ardhi kuuuubwa...
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    https://youtube.com/shorts/MUNIdNWYzuc?si=yqYxLUf3p8-gkTv8
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Hawa vijana wakiachwa waelendelee kufanya hivi ni rahisi kwa kushawishiwa kuichoma nchi yao maana hawana cha kupoteza. Ziko nchi zinaitamani ardhi yetu kwaajili ya ajira ya vijana wao. Ardhi ndio kete ya ushindi kwa vijana wetu vinginevyo hatukuwa na sababu ya maana ya kuitaifisha ardhi na...
  13. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tsh. Billion 200 za vijana mnazipeleka wapi?

    Watanzania wenzangu tuwaondoe vijana wetu kandokando ya barabara kuuza machungwa 20 mezani badala yake twende tukawagawie ardhi iliyoboreshwa wazalishe kabla ardhi yao haijaisha kabisa. Ningetamani hizo bil 200 zooote zingewekwa kama chambo kwa vijana kwenye kilimo kuwavuta vijana waende kwenye...
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tume ya Samia ya Jaji Chande imefeli sasa Serikali iruhusu Tume Huru za Kimataifa

    Hiyo sio hoja, tume imesema yale hayakuwa maandamano bali ghasia tu. sasa hivi kila mtu anasubiri kujua nani alipanga na nani alitekeleza ghasia zile, finito. Hakuna mtanzania mjinga ataacha kuiamini tume iliyoongozwa na majaji wakuu wawili.
  15. kavulata

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakisusia maridhiano watasusia na vikao vya kuandika Katiba Mpya?

    Amekudanganya nini kuwa chadema ni sauti ya waliowengi? Hama vurugu zile za uchaguzi ilibidi watu wajitokeze kwa kulipwa, kuahidiwa na kuleta watu kutoka nje. Watu wengi bro huwezi kuzizima sauti zao kwa kitu chochote kile. Watu wengi hawajawahi kufeli kwenye jambo lao. Zile vurugu zilizimwa...
Back
Top Bottom