Recent content by kavulata

  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kesho Lema anaenda kujimaliza kisiasa na press yake kama anajiona anaukubwa huo nje ya Chadema kesho ndo utakua mwisho wake

    https://youtube.com/shorts/9bskeXlI-KI?si=HI8UZvgTT-LPbaSF
  2. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kupeleka vijana JKT ili waje watoe wananchi sio suluhu ya matatizo ya taifa letu. Tatizo ni ufisadi wa CCM mtandao

    Hapa Tanzania hakuna mwananchi mwenye hali mbaya ambae yuko tayari kufa kupigana na askari kudai haki yake iliyoporwa na viongozi, labda wabwia madawa na wavuta ndumu wanaoshinda vijiweni. Msijitoe ufahamu wa humu jf. Kama hao wangekuweko wengi basi Lissu asingekuwepo gerezani hadi leo...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kama kauli hii ingetolewa na Rais Samia ingekuwaje, Walaka?

    Kuna wakati naona watanzania hawako fair kwa Rais Samia, maana yeye hajafika hata robo ya mabaya ya watangulizi wake. Hebu msikilize Rais mstaafu Mkapa hapa. https://youtu.be/a4c3MQwGD0g?si=qis68AY3vgTvu9Lj
  4. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Haya sasa, kula chuma iko https://youtu.be/a4c3MQwGD0g?si=qis68AY3vgTvu9Lj
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kesho Lema anaenda kujimaliza kisiasa na press yake kama anajiona anaukubwa huo nje ya Chadema kesho ndo utakua mwisho wake

    Lema anayo hofu ya Mungu, hawezi kuwa sehemu ya uharibifu mkubwa uliofanywa. Kazi yake amemaliza hata kama mumtukane namna gani. Mfumo unajua nani ni nani kwenye tukio lile.
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Endelea kushupaza shingo bro!! Ukishavuta ndumu zako kaa geto na masela zako. Acha kucheza na mfumo uliokusanya mastaa wengi kwa wakati mmoja. Mfuno uliotuvusha salama kwa miaka 65 huwezi wewe maandazi kuung'oa kama shina la mhogo wakati wa mvua za masika, vinginevyo unatafuta balaa la kujitakia.
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania Fei ToTo ona aibu hii ya Azam 0-2 Simba. Huisaidii timu kwanini?

    X-factor huwa inaamuaga matokeo hali ikiwa ngumu.
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania Fei ToTo ona aibu hii ya Azam 0-2 Simba. Huisaidii timu kwanini?

    Kuna watu wana bahati duniani. Hivi Fei TOTO ni wa kulipwa hela hizi zote, kwa lipi hasa? Simba walikuwa wanajichosha bure kumlilia Fei.
  9. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Shida ya Lissu na wenzake wanataka kutuambia kila alichokifanya na kutuachia Nyerere na Karume katika nchi hii ni nonsense. Yaani wamarekani aje mtu awaambie kila alichofanya George Washington na Abraham Linvolin waachane nacho ni upuuzi. Wachina wale aje mwanasiasa machachari kama Lissu...
  10. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Usifikiri China hakuna watu wanaowaza kama Lissu, Heche na wewe, wapo lakini wanazo dawa zao. Dola haichezewi maana ina kila aina ya watu wenye akili, nguvu, ujuzi na maarifa wa rika, dini na jinsia zote. Akina Katuga kiboko ya Heche wako wengi sana kwenye dola. Dola tumeikabidhi silaha nyingi...
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Hakuna taifa ambalo limemaliza kero za raia wake. Kuwaaminisha vijana kuwa chadema itamaliza kero zote za wananchi ndicho ambacho sisi na CCM tunazuia ulaghai kama huo kwa watanzania, hasa vijana. Wanachofanya chadema ndicho hichohicho wahuni wa Libya walichofanya kwa Gadaffi, sasa hivi...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Lissu anajidanganya sana kudhani watu wanamuunga mkono, hapana, hapana, hapana. Hata yeye anajua watanzania hawamuungi mkono ndio maana yeye anasota korokoroni wakati watanzania wakisherehekea miaka 30 ya bongo fleva, wakifanya parades za ushindi, wakisherehekea 40 za watoto wao, nk...
  13. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Akili zao zote wanaamini mavi ya mzungu ni safi na salama.
  14. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kiki kwenye siasa ni kukwepa uwajibikaji!

    Ili chadema na vyama vingine vyote vya upinzani siku moja viende Ikulu pia lazima kwanza vikubali sisi sio nchi ya kibepari hatufuati kila wanachofanya nchi za Magharibi kama ushoga, nk, pili, wakubali muungano kama ulivyo sasa. Tatu , Tanzania haifungamani na upande wowote. Hakuna mbwemnwe...
Back
Top Bottom