Lissu anajidanganya sana kudhani watu wanamuunga mkono, hapana, hapana, hapana. Hata yeye anajua watanzania hawamuungi mkono ndio maana yeye anasota korokoroni wakati watanzania wakisherehekea miaka 30 ya bongo fleva, wakifanya parades za ushindi, wakisherehekea 40 za watoto wao, nk...