Usiwaze sana advance,
Angalia vyuo kama dit,must,chuo cha maji
Na pia Eka mawazo chanya ya kutengeneza pesa bila kutumia sana elimu yako utakayokua nayo badae,
Usiwaze kuajiria kutokana na elimu
Na pia usiache elimu shikilia pia
Anza kuwaza mAisha yako,
Dooh
Mimi nmeomba hyo coz 2nd selection
Ukweli siijui vizur wala cjawahi kuisikia je inajapo uwanja kidogo baada ya kugraduate iwe kujiajiri au kuajiriwa
Na pia mfano ukitaka kujiajiri sanasana utakua unadeal na pande zipi
Nakuajiriwa unafocus hasa sekta zipi
Nipe mwongozo Mr kama unaifahamu...
Nimetemwa first round
Nataka niendelee kusoma sayansi chuoni
Nimemaliza pcm nikiwa na DDE
Kama in mzoefu naomba nishauri
Kidogo ili niweze kuchaguliwa
Kama una idea ya faculty yoyote nili niweze kuangalia na chuo
Niweze kuapply vizuri kwa round hii
#nimewasilisha
Asante
Sasa mkuu naogopa kutoweka vyuo vngne wasiwasi wangu nikutemwa tena
Naomba ushauri kama unauelewa wa chuo kingne na best faculty
Ambayo kulingana na matokeo hayo
Expect ushauri wako
Asante
Wakuu namimi nko second rnd pcm DDE nataka niombe hivii
Municipal industrial &service engnerng-ardhi
Building economy -ardhi
Environmental science and managment-sua
Food science -sua
Form four Nina two
Ntapita kwa second round?
Mzooefu kdogo naomba ushauri wakubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.