Recent content by KAUPEPO SAUFA

  1. K

    Ratiba ya mtihani wa ualimu diploma na cheti

    Hi wana JF, naomben msaada kwa yeyote kama ana ratiba ya mtihani wa ualimu hasa daraja A anisaidie.
  2. K

    Maombi ya mafunzo ya ualimu mwaka 2014/2015

    Samahan wana JF, naombeni kusaidiwa, wanaoomba ualimu, kwa waliomaliza 2013, wanatakiwa kuwa na division 3, au four 33 na 34, maana nimeshindwa kuelewa vizuri. Naombeni msaada wenu.
  3. K

    Ajira mpya za walimu

    Hatimaye serikali imetangaza ajira za walimu zipatazo elfu 36 na point kadhaa, ambapo walimu watapangiwa vituo vyao vya kazi muda si mrefu.
Back
Top Bottom