Recent content by katuruka

  1. K

    FULL TEXT: Hotuba ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Agosti 29, 2015

    Nikishinda urais nitaunda serikali rafiki kwa mama ntilie na bodaboda kwa kuwanunulia smartfone ili wafuatilie serikali yako inafanya nini .kweli lowasa full sanaa
  2. K

    Lowassa una tatizo

    Masikini watz wamekosa maarifa na sasa wanaangamia kweli sumaye na lowassa wanaweza kuilaumu ccm kwa kushindwa kuleta maendeleo
  3. K

    Upofu wa ukawa hili group la wezi lowasa hajalikana popote

    Uzalendo wa jk hauna mfano .nasema hivi baada ya kumtosa rafiki yake mkubwa aliyemsaidia kuingia ikulu na kundi zima liloongozwa na el .katka utawala wake jk ameona ilivyongumu kyongoza nchi ukiwa na kundi la washikaji na ambao ni wafanya biashara wanaohijita misaada haramu kufanikisha buashara...
  4. K

    UKAWA na Wanajamvi: Sio siri kuwa 90% Wanaunga Mkono UKAWA na mgombea wake

    Kumshabikia lowasaa ni kutojitanbua
  5. K

    Voice of America wanamjadili Lowasa(UKAWA), karibu uone mjadala Star TV

    Lowasa master minder wa rushwa nchi hii
Back
Top Bottom