Nikishinda urais nitaunda serikali rafiki kwa mama ntilie na bodaboda kwa kuwanunulia smartfone ili wafuatilie serikali yako inafanya nini .kweli lowasa full sanaa
Uzalendo wa jk hauna mfano .nasema hivi baada ya kumtosa rafiki yake mkubwa aliyemsaidia kuingia ikulu na kundi zima liloongozwa na el .katka utawala wake jk ameona ilivyongumu kyongoza nchi ukiwa na kundi la washikaji na ambao ni wafanya biashara wanaohijita misaada haramu kufanikisha buashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.