Wakati nafanya research moja niligundua kuna viongozi wengi wa serikali huwa wanakimbilia kwa watu wanaojiita waganga sijui huwa wanaenda kuchawia au kujikinga me do not no.
Ili waweze kupita kwenye chaguzi mbali mbali ,
Mie nadhani upo ila inategemea na imani yako
hapo kwenye nyekundu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.