Shukrani wadau, nimepata somo zuri kutoka kwenu. Mpaka sasa mzani umelalia kwenye kutolipandisha. Chakufanya muda wa kubadilisha matairi naweza kuchukua ya saizi kubwa kuliko yaliyopo, hii nitaifanya kwa ushirikiano na fundi ili kusiwe na changamoto kama za kugusa bodi muda wa kukata kona.
Salam wakuu,
Nimekua mtumiaji wa magari yaliyo chini. Nilianza kutumia Toyota RunX na sasa natumia Subaru imprezza. Katika matumizi yake nimekua napata changamoto ya kimo chake ikiwemo kuharibu mabampa.
Zaidi ya mafundi wawili wamenishauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.