Recent content by kashaija amon

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Hapa ni maeneo ya Vikindu hospital njia ya Vianzi. Kwa waenda kwa miguu. Mvua ikinyesha maji yanajaa hivi. Mamlaka husika wapo kimya

    Kutofanyiwa ufumbuzi wa tatizo la kujaa maji katika njia ya Vianzi kutoka Vikindu Hospitali kuelekea Masister inaleta shida sana kwa watu kupita. Hii ndiyo njia pekee inayotumiwa na wanafunzi wa vyuo na shule kupita kila siku .
Back
Top Bottom