Jaman tujipange tuende officin kwao wakamatwe maana wamesha kula yangu 57,500/= na najua wapo wengine japo hawasemi. Ila mimi namba za uthibitisho wa kutuma kwenda kwa Halima James kama anavyo jii ta huyu mtu ninazo. Ebu mtusaidie tuwasiliane na Mh. Halima Mdee, wasimchafulie jina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.