Recent content by Karunguu

  1. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Hamna mabolesho yoyote had saiz yanayoendelea nakama ingekua mabolesho bas tungeambia Sehem za mabolesho zipo 3 na sisis hatupo sehem hizo
  2. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Soko limefungulia kulikua na watu 1600 had sasa watu tunafika 8500 vizimba vipo 300 sisi tuliokosa vizimba tulifata talatibu na tukapewa eneo tukapewa meza natukawa nasehem yakuhifadhia watu niweng nahatuwez wote kua kwenye vizimba sehem ipo ndogo
  3. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Sisi niwauza samaki ambao tupo soko la samaki fery
  4. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Hatujapewa balua aina yoyote zaid tu yakutolewa meza zetu naikiwa sisi tunalipa ushuru huu kalibu mwaka wanne nahatukukaa hivi hivi tulifata agizo la mkuu wawilaya mda huo 2019 akatushauli tuanzishe vyama wanyabiasha wadogo wadogo lakin toka tulivyo anzisha kikundi tulikua tunalipa ushuru...
  5. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Nahili limetokea kwa watu fulan tu huku wengine wakiendelea kufanya kazi kama hizi hizi tunazokatazwa sisi.
  6. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Hawatoi sababu za msingi had sasaunaenda mwezi wa pili
  7. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Hawatoi sababu za msingi hadi sasa unaelekea mwezi wa pili.
  8. Karunguu

    Tumekatazwa kufanya biashara kwenye Soko la Kimataifa la samaki Ferry

    Habari waungwana, Mimi ni mjasiriamali kutoka ferry. Ndugu zangu maisha hadi sasa hivi yanapoelekea sipo, soko la samaki ila wanakataa tusiuze samaki. Yeyote atakae soma ujumbe huu naomba u share ili kila mtu aone ili tupate msaada. Tunanyanyaswa watanzania na tumekuwa kama wakimbizi.
Back
Top Bottom