Coil tunauza kuanzia tani 1, tunatengeneza coil kulingana na uhitaji wa mteja. Bei inatofautiana kulinga na unene wa coil unayonunua. Kwa mfano unahitaji coil ya aluzinc yenye unene wa 0.18. Hii coil tani moja tunauza dola 1360, hii ni sawa na pesa za kitanzania shilingi 3,590,400. Kwahiyo coil...
Tunauza Coil za mabati, aluzinc coil kwajili ya mabati ya kawaida, coloured coil kwaajili ya mabati yenye rangi.
Rejected coils, unaweza kuja kununua kama scraps au kwa matumizi yako mengine.
0718224995
Bei hizo hapo kiongozi, bando moja ya bati nyeupe inakuwa na bati 20, bando ya bati za rangi inakuwa na bati 16.
Ukinunua bando bei haibadiliki, unazidisha tu idadi ya bati kwa bei ya bati husika.
Tunaanza kuuza kuanzia bati 10 na kuendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.