Bei hizo hapo kiongozi, bando moja ya bati nyeupe inakuwa na bati 20, bando ya bati za rangi inakuwa na bati 16.
Ukinunua bando bei haibadiliki, unazidisha tu idadi ya bati kwa bei ya bati husika.
Tunaanza kuuza kuanzia bati 10 na kuendelea.
Coil zinatumika kutengeneza bati mkuu.
KABLA HAUJANUNUA COIL KUTOKA KWETU KWA LENGO LA KUTENGENEZA MABATI, UNATAKIWA KUWA NA MASHINE KAMA HII.
HII MASHINE NDIO INATUMIKA KUTENGENEZA MIGONGO YA MABATI NA KUFYATUA BATI.
Coil inakuwa hivi.
Karibu boss!!!
📱 0718 224 995
Samahani kwa kuchelewa kukujibu kiongozi, coil zetu tunaanza kuuza kuanzia tani 3.
Coil zinatofautiana ubora(thickness). Hivyo bei zinatofautiana.
COIL ZA RANGI BEI INAANZIA 3583000/= MPAKA 4044000 KWA KILA TANI MOJA.
COIL ZISIZO NA RANGI (PLAIN) BEI INAANZIA 3225000/= MPAKA 3647000/= KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.