Wadau kama ambavyo uzi unasomeka, gari yangu inawasha taa ya check engine, sometimes taa ya ABS pindi ninapotembea Km 5,6--, namtafuta fundi mwaminifu na mjuvi wa kurekebisha hizi taa au garage nzuri.Nimechoka na jamaa wa mitaani wanagusagusa na kupima lkn naona kama hawana uhakika na kazi zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.