mkuu waweza kutumia cheti chako cha gatce iwapo kiko vizuri.angalau uwe na ufaulu usiochini ya credt 4.2 kidogo au uwe na dinstiction moja kwa moja. Apo utaomba kusoma diploma ukishamaliza diploma yako ukafaulu vizuri unaomba mkopo unaenda zako universty
Kiukweli necta cjawaelewa kiukweli na nimeona hawana nia njema na watoto we2 walioko shule ze2 za kata.Kwakua naona wameshindwa kutambambua utofaut wa mtoto yule alyepata
gred E na yule alyepata gred F, na kuamua wote kuwaweka wote katka kund moja!. Jaman m2 mwenye gred E ya 26 amelinganishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.