Ofcz she is right inabd mseme wanaume mnataka nini kwa wanawake Mana kila mnachofanyiwa hamridhiki wanaume shida yenu mkiambiwa ukweli mnaishia kukimbilia kwenye maswala ya ufeminist tu
Unachotakiwa kujua ni kwamba mtoto akiwa mdgo huwa anapenda kukumbatia au kuwa karibu na mzazi Ili ajisikie yupo salama na hapo anaeza acha kulia ko wee unachotakiwa kufny ni kuhakikiasha unakuw nae karbu na ahisi uwepo wako na joto lako pia na mama ake kabla hajaondk ahakikishe mtoto ameshiba...
Ndo ivo unaeza ukajiona mjanja ukamwacha Alie kumbe mtoto anaumwa au kina kitu hakipo saw ndo mana analia mwishowe uje kumpoteza mtoto kisa uzembe na ujinga tu,[emoji35]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.