Ni safari ya kutoka Arusha kuelekea Dare s saalam.Nipo kwenye basi na abiria wa upande wangu wa kulia ni mwanamke mzuri wa sura na umbile na mwenye haiba ya upole.Huwa sina Tamaduni ya kuanza kumsalimia mwanamke katika maisha yangu.Kwa umri wa miaka 33 sijabahatika kuwa na mke wala mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.