Wewe ni mngese!
Polisi wako makini, jamii ------- ndiyo itailaumu polisi kwa kazi inayotanya.
CDM ni wapenda shari na waropokaji wakubwa, wachochezi na wauwaji. Waongo, wakabila na wadini.
duh! maneno makali kwenye RED!
Mimi nimefanya kazi Afghanstan, Sudan katika jimbo la Darfour na Somalia kidogo so najua vita na vurugu ni nini, wewe kalisha makalio huku ukiomba wapenda fujo waingie madarakani,UTAJUTA bro!
hatuwezi kuwapa nchi wanywa viroba na wahuni wa mjini kwani wataanza na wao kujilimbikizia mali kama kawaida ya watanzania.
Watu ambao wakisimama majukwaani hawasemi watatufanyia nini zaidi ya kuhamasisha mgawanyiko kwa watanzania
hawafai.
CDM wanatakiwa wawe na viongozi kama ZITO na MNYIKA...
ngoja nikwambie bro! MBOWE anatafuta uraisi kwa manufaa yake na wanawe kwa kuwatumia vijana wanaopenda maneno ya matumaini kwamba akiwa raisi atafanya maajabu kwa muda mfupi. Hiyo bro haipo, kila mtu atumie fursa zilizopo ili aendelee yeye na familia yake .
Tufanye kazi na siasa iwe kama part...
kwa hiyo unataka watangaze mfanye fujo?
Acha hizo wewe wakakae waandae uongo wa kuwaambia wananchi kwani hawana jipya kama wewe.
fujo zenu zinatupunguzia watalii Arusha,tunashindwa kuingiza dola kwa sababu ya bangi na viroba vya CHADEMA.
Hamfai hata kupewa madaraka ya kusimamia
Tatizo la hawa jamaa humu ndani utafikiri wanalipwa na hivi vyama kwani ni kubisha tu!
Hakuna atakayeleta mabadiliko ya maisha yako binafsi zaidi ya wewe mwenyewe.
Wamisri ni wavivu sana hasa waarabu wote, wanataka kukaa tu huku wakisubiri maendeleo. Nani atakayeleta hayo maendeleo wakati wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.