Recent content by KANDUDI RAYMOND

  1. K

    Waliolipia kuapply kupitia NACTE na kutakiwa kuapply TCU wanalipa tena?

    Ndugu yangu ana diploma kalipia NACTE na anatakiwa kuapply TCU baada ya mabadiliko. Analipia tenaa au !?? Msaada tafadhali
  2. K

    Kuhusu UDOM

    Poa kaka nitafanya hvyo
  3. K

    Kuhusu UDOM

    daa poa ngoja 2fanye mchakato
  4. K

    Kuhusu UDOM

    ok poa honey faith ,asante kwa ushauri wako mzuri dada yangu, MUNGU akubariki
  5. K

    Kuhusu UDOM

    Nipo college of eductn, xaxa cjajua maana yote majanga ,mambo hayasomeki kabisaa,msaada jamani
  6. K

    Kuhusu UDOM

    Kaka mm nina fee structure ,lakn siioni hyo a/c ya udoso,msaada jamani
  7. K

    Kuhusu UDOM

    Hyo ya direct cost au vp?, na pia inakuwaje kama umepewa mkopo robo tatu(3/4),je naweza lipa direct cost kwanza?
  8. K

    Kuhusu UDOM

    fafanua mkuu ndo nini hyo?(udoso),napia 2talipia bank au inakuwaje hyo buku 5 ya udoso?
  9. K

    Tuition fees UDOM

    ndgu mwisho ni tar15mwez wa10 tunatakiwa wana idodomya ,2lipe ..ila kwa tatizo la kiac gani tulipe cjajua..ila nadhani watahtaji nusu yakee.
  10. K

    Zaidi ya asilimia 80 wamekosa mkopo Mzumbe University

    iv naomba kuuliza mkuu,edctn wotee kweli watapata mkopo? mana udom?
  11. K

    Kwa waliokosa mkopo

    udom bado,ila kujua mapema prcedur
  12. K

    Kwa waliokosa mkopo

    tunaomba kaka kama unazifahamu procedurez za kuappeal bhasi, maana wa udom 2nataka 2jue mapemaa kabla hakuja kucha..msaada..ila walinichagua eductn xaxa cjui maana udom nao? coz ya edctn ,mmmh.
  13. K

    Kwa waliokosa mkopo

    asante mkuu ,maelezo safi
Back
Top Bottom