Recent content by kandabongo

  1. kandabongo

    Ujangili wa kutisha wa Jeshi la Magereza mkoani Manyara!

    kwani hamjui magari ya polisi,serikali, na taasisi nyingine za serikali ndio zinatumika kwa kufanya uhalifu issue ya kusafirisha bangi ya moshi si lilikuwa gari la polisi?Na hizo ni issue za vigogo nani anabisha? na hao wahalifu hawafanywi chochote si mtaona?
  2. kandabongo

    Serikali yafunga migodi 4 Mererani

    Kufuatia kupigwa risasi kwa mfanyakazi wa Tanzanite one William Onesmo Mushi na kufariki papo hapo serikali kupitia wizara ya nishati na madini imefunga migodi minne inayozunguka eneo hilo kwa muda usiojulikana ili kupisha uchunguzi wa kina kufuatia tukio hilo. Kamishna Msaidizi wa madini kanda...
Back
Top Bottom