Recent content by kanakansungu

  1. K

    JF Exclusive: Mauritius Leaks name Tanzania companies in tax avoidance

    Kuna kampuni inaitwa ABin Bev iliyoinunua sabmiller (TBL TANZANIA) nao wameondoa wafanyakazi wote vitengo finance and everything almost is operated from Mauritius. Hebu nayo jaribu kuiangalia kama sio wakwepa kodi kweli.
  2. K

    Ufanisi wa Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Ndungulile jimboni kwake wazua maswali. Hafai tena kuiwakilisha CCM 2020

    Wakati tunajadili maendeleo ya jimbo la kigamboni kuwa duni ikumbukwe kuwa serikali ya CCM chini ya Dr JK ilisimamisha maendeleo ya aina yoyote katika kipindi cha tamribani miaka 10 katika kata 4 za jimbo hili ambazo ndo kitovu na chachu ya muonekano wa kigamboni. Hivi kwa wakazi wenyeji...
  3. K

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Japo sijawahi kuchangia chochote ktk Uzi huu, ila umenifanya nichangie Ulishawahi kufanya biashara yoyote ya kuwekesha na kusubiri bei ipande? Kama ndio, ulishawahi kupata hasara? Kama ndio "how" kama hapana, hongera mkuu! Biashara kama hujawahi kupata hasara hiyo bado hujaijua! Binafsi...
  4. K

    Ntatangaza Nia Mapema Machi 2015 - Dkt. John Pombe MAGUFULI

    kwa nafasi ya uwaziri mkuu sawa inamfaa magufuli, kwa kuwa ni mtekelezaji mzuri sana wa kazi zote anazotumwa. Ukiondoa sifa ya kutunza kumbukumbu za urefu wa barabara, kuwafukuza watendaji, fuatilia ni jinsi gani anavyoweza kutatua migogoro au sintofahamu zozote zilizo ama chini ya wizara yake...
  5. K

    Mwanasheria Mkuu: Serikali haitagharimia Mahakama ya Kadhi

    hivi naomba niliulize, tanzania kuna ubalozi kuna ubalozi wa vatican? na je vatican kuna ubalozi ( kiti ) cha tanzania? na kama vipo nani anahudumia? kama havipo, sababu ni nini? Turejee historia hiyo. SAMAHANI KWA KUTOKA NJE YA MADA JAPO HILI SUALA ALISHAWAHI MTU KULIELEZEA HUMU HUMU JF...
  6. K

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    tuachage ushabiki, nani anapenda mwanae asome hizi shule kutoka moyoni? niumaskini tu ndo unaotufanya hivi. Kipindi cha nyuma shule za serikali zilikuwa zinatoa elimu bora na yenye kiwango. ila baada ya shule za kata, manjonjo ya kuiharibu elimu yakaanza. mara hesabu kuna matipo choisi, mara...
  7. K

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    Ni suala la waislam kuwa wazi na kuanika kila kitu hadharani kuhusu muundo, kesi zitakazoamuliwa na uhusiano wake wa kimaamuzi na jamii nyingine zilizo nje ya imani yao. mpaka sasa bado najiuliza, endapo kwa akili yake na utashi wake mtu akaamua kubadili dini kutoka uislam kuwa dini nyingine...
  8. K

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    mkuu, tuko kueleweshana, hebu fafanua kuhusu hili la ushiriki wa wanawake kwenye huo muswada
  9. K

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    13.2 MAPENDEKEZO YETU: Kuna ulazima wa kuiwekea mahakama ya kadhi msingi wa Kikatiba ili uhalali wa kuwepo kwake na utendaji wake usihojiwe na mahakama nyingine ili kuepusha migongano na migororo huko mbeleni.
  10. K

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    Ndugu, rudia hiki kipengele naupitie upya post yako. 13.2 MAPENDEKEZO YETU: Kuna ulazima wa kuiwekea mahakama ya kadhi msingi wa Kikatiba ili uhalali wa kuwepo kwake na utendaji wake usihojiwe na mahakama nyingine ili kuepusha migongano na migororo huko mbeleni.
  11. K

    Hii ndiyo Mahakama ya Kadhi inayodaiwa

    MAHAKAMA YA KADHI: MAONI YA TAASISI ZA KIISLAM KWA KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA MAONI YA WAISLAM KUHUSU MUSWADA WA WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENT)(NO. 2) ACT, 2014 ………………………………………………………… UTANGULIZI: Kama taasisi ya Kiislam tumepitia muswada wa Written Laws (Miscellaneous...
  12. K

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Kumbe na wewe umeona eeh! Labda atuambie hyo kilungule ipi? Km ji ya kimara ni cdm ndo imeshinda jamani kama ni kilungule ya mbagara ni cuf wameshinda. kwa mbagara 75% ni cuf na mitaa ya kwa nyoka, kilungule, barabara ya mwinyi kote cuf wMeshinda.
  13. K

    Ndugu wana JF: Tujadili hili ,Ni nani atabebeshwa msalaba wa kukosekana kwa katiba mpya Tanzania,ile

    msalaba huo ni wa mwenye kaya, yeye ndo alianza kwa kuharibu kwa kutoa suluhisho kabla ya katiba kujadiliwa.
Back
Top Bottom