Habari wanajamii! Naomba kujua utofauti wa shule kama Chang'ombe katika mishhara ya walimu na shule zingine ambazo hazipo chini ya taasisi za umma. I mean mshahara ni shilingi ngapi kwa mtu mwenye elimu ya Bachelor. Asnte
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.