Wadau,
Nawakatibisha mjipatie mayai ya Kware kwa ajili ya afya pia kwa ajili ya kuangulishia nicheki kupitia. 0717209059/0765347508 bei nafuu sawa na bei ya jumla inayoweza kukupa faida kama wewe ni muuzaji wa rejareja.
Karibu sana
Ukiitaj pia mayai ya Kware kwa kuangulishia (fertile egg) nichek kupitia 0717209059/0765347508 kwa bei poa ya jumla biashara maelewano tu, hatuna bei za tamaaa karibun
Wadau mwenye uhitaj wa mayai nichek kupitia 0717209059/0765347508 nitakuuzia kwa bei ya jumla inayo kuruhusu kuuza na kupata faida pia karibu sana sina bei ya tamaa
Habari wadau nihiv kwa mwenye soko au uhitaji wa mayai kwa ajili ya kuangulishia mitamuzia kwa bei ya jumla itakayo mpa faida kama ataamua kuuza rejareja anichuki kupitia 0717209059/0765347508 bei ni poa sana sina bei ya tamaa hata karibu sana
Kware dume hana madot kifuan ila jike anayo na ugunduz huu zaid kuanzia week ya 2 ila has a ya3 had4 kuhusu anayetaga na siye taga cjajua ila hata kwa uelewa mdogo Kware anaye taga lazima atakua mnene fikir kuhusu mama mjamzito
Wadau ofa inaendelea mwenye kunipa kware jike 20 nimpe madume 29 kwakua wapo wengi sana hawa wana wik8, au anipe majike25 wa wik3 Mimi nimpe madume,27 wa wik8 tusaidiane wadau madume yamekua mengi kwangu
Waungwana numetoa ofa hiyo kwa mwenye uhutaj anichek fasta ninamadume ya kware30 nataka kuyatoa fasta mwenye uhitaj anichek fasta tufanye biz au anipe majike 20 nimpe madume 27 fasta
Waungwana mwenye Kware weng majike na anashida ya madume kwa ajili ya mbegu tubadilishane maana ninamadume meng had majike hawana raha hapatuli bandan, hata10 nitawafata kokote ulipo dar hii
Wadau wenye uzoefu na uelewa plz nisaidieni namna ya kutengeneza chakula bora cha Kware cha wik ya5 nakuendelea ili waweze taga vizuri mfululizo na mayai yenye ubora, naogopa chakula cha dukan, tusaidiane wakongwe,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.