Recent content by kamengezee

  1. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na hii ndio iliobaki na baadae naenda kuitoa nikalipie cement ya jana
  2. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Watano
  3. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wanne
  4. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Watatu
  5. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huo wa pili
  6. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huo wa kwanza
  7. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haya maisha noma, ngoja niwape mkasa ulionitokea leo kuna wana 2 wananidai 1 ananidai laki na nusu na mwingine laki na 75 hapa nimewazungusha karibia wiki sasa leo baada ya kuchachamaa nikawaambia leo ntawapa, natoa wap cjui, ikabidi niende hardware nikakopa mifuko ya cement kama 25 jumla hapo...
  8. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    sema wa Vietnam wanazinguaga sana
  9. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    naona celta vigo kaamua kuninyima hela
  10. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mm mechi ya Getafe nimeomba goli 1 na celta vigo pia goli moja afu ndo zimebaki hizo tu nile laki na 70 kwa buku 2 jero timu 30 ila kuna kila dalili mkeka kuchanika
  11. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    leo kuna kila dalili VAR ikanikosesha hela kwenye mechi ya Getafe na ile ya celta vigo
  12. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    pole mkuu mm ilibaki mechi ya sevila itoe goli mbili nifunge mahesabu ya mwezi wapuuzi kweli hawa jamaa
  13. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    ile presha acha tu ackwambie mtu yani hata msosi haupiti
  14. kamengezee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    asikwambie mtu mzee hiyo presha niliipata mwaka 2017 nilitia laki na nusu odds zilikuwa 17 ilibaki timu 1 ipate goli ili itimie 2+ hapo nipo flashscore nimeweka sauti mpaka mwisho kwenye pc ili goli likiingia Nisikie yale makelele ya gori mpaka dk ya 90 ngoma 1 - 0 nikasema bac tena nishaliwa...
Back
Top Bottom