habari wadau. samahanini sana naomba mwenye taarifa kuhusu zile kazi za tra za receptionist tulizoomba zamani sana, vip kuna aliyewahi kuitwa usaili? na tetesi zozote je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.