Mwendelezo wa kukimaliza cdm, siioni chadema bila LISSU walio baki wote hawana hoja wala mvuto na kibali mbele ya wananchi huu ndio ukweli mchungu maskioni mwa chawa wa mbowe.
Wakumlaumu ni mbowe alie kuwa na nafasi kubwa yakuunda upunzani ulio na nguvu 2025 achukue viti vingi vya wabunge ili aongoze bunge yeye ameuwa cdm kwa Mikono yake mwenyewe, tangu alambe ile asali ilikimaliza cdm jumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.