Recent content by kamandamakini

  1. K

    Endapo Tundu Lissu akiamua kuondoka CHADEMA, ni athari zipi zinazoweza kuikumba?

    Ninacho mkubali lissu ana dictate matakwa yake kwa namna ambayo mbowe break hazikabi analazimika hata kama hataki
  2. K

    PreGE2025 Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA

    mbowe kauwa saccos-CDM ambayo ni familia business sasa inaisababishia famila hasara kubwa mno royal family 😀
  3. K

    PreGE2025 Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA

    Mwendelezo wa kukimaliza cdm, siioni chadema bila LISSU walio baki wote hawana hoja wala mvuto na kibali mbele ya wananchi huu ndio ukweli mchungu maskioni mwa chawa wa mbowe.
  4. K

    PreGE2025 Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA

    Video itasaidia nini wakati chama kimesha kufa amekiuwa mbowe kwa mikono yake mwenyewe na ushamba kiasi 😀
  5. K

    Amos Makala: Baada ya Peneza na Mchungaji Msigwa bado kuna wengine wengi wanakuja CCM kaeni mkao wa kuwapokea!

    Niaibu kwa cdm ku survive enzi za Mwenda zake na kina kufa sasa, aibu hii.
  6. K

    PreGE2025 Mbowe: Nitajiuzulu siasa 2025 endapo CCM itashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo mkoani Kilimanjaro

    What ever your say, Ila kila kitu kina mwisho wake Dj ni failure, period
  7. K

    PreGE2025 Mbowe: Nitajiuzulu siasa 2025 endapo CCM itashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo mkoani Kilimanjaro

    Disco joker chama kimemshinda alijisahau sana sasa imefika mwisho
  8. K

    Bulaya ampa za Uso Msigwa

    Wakumlaumu ni mbowe alie kuwa na nafasi kubwa yakuunda upunzani ulio na nguvu 2025 achukue viti vingi vya wabunge ili aongoze bunge yeye ameuwa cdm kwa Mikono yake mwenyewe, tangu alambe ile asali ilikimaliza cdm jumla.
  9. K

    Mwamposa: Naamini Serikali haitaruhusu mitandao inayohamasisha Ushoga kuendelea kuwepo nchini

    Rais ajae afunge makanisa ya wahuni yote ili kunusuru wananchi kutapeliwa kama kagame alivyo thubutu kule rwanda
  10. K

    Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

    Chama kime savai kote huko its a shame kufia awamu hii kwa tajir “mtata”mbowe [emoji23]
  11. K

    PreGE2025 Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa (sio Mbowe)

    Hata ukisema alichokijenga kwa jasho na damu utakuwa hujakosea mwana jf
  12. K

    PreGE2025 Mwenezi Makala: Msigwa karibu CCM, huko wanakuonea

    Bro nkurunzinza mbowe ana miaka mingapi kwenye uwenyekiti? Futa hii
Back
Top Bottom