Duh vitu vingine tusiwatishe wananchi bure jamani. Kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba mkutano huo wa Marrakesh ulihusu kuanzwa kutekelezwa kwa Makubaliano ya Paris na wala si kwamba ujumbe huo wa Tanzania ndiyo ulikwenda kuusaini sasa hivi Moroko.
Hata hivyo,utekelezaji huo una viwango na vigezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.