WanaJF hivi mtu anataka kukata rufaa na ana kadi ya Bibi yake ya tasaf lakini mwanzo hakuambatanisha hii kwenye appeal stage inawezekana kuiattach????au wanataka taarifa ziwe sawa na za mwanzo??muongozo wenu tafadhali
Kwahiyo kuhusu hivyo vyumba na hizo taarifa hazina effect yoyote maana mwanzo hazikuwepo???? na swali lingine hivi mtu kama alikosea jina (herufi moja) wakati wa kutuma EMS-posta(jina la HESLB form na kule EMS tofauti helufi kidogo ipoje hiyo)kuna uhakika hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.