Recent content by kalhose

  1. K

    Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

    WanaJF hivi mtu anataka kukata rufaa na ana kadi ya Bibi yake ya tasaf lakini mwanzo hakuambatanisha hii kwenye appeal stage inawezekana kuiattach????au wanataka taarifa ziwe sawa na za mwanzo??muongozo wenu tafadhali
  2. K

    Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

    Kwahiyo kuhusu hivyo vyumba na hizo taarifa hazina effect yoyote maana mwanzo hazikuwepo???? na swali lingine hivi mtu kama alikosea jina (herufi moja) wakati wa kutuma EMS-posta(jina la HESLB form na kule EMS tofauti helufi kidogo ipoje hiyo)kuna uhakika hapo
  3. K

    Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

    samahani wana JF inamaanisha nini hii???
Back
Top Bottom