Habarini wapendwa, naombeni msaada wenu, kipindi cha nyuma mimi niliwahi kusumbuliwa na tatizo la umeng'enyaji chakula, nilikuwa najisaidia choo kigumu sana, nikaambiwa na doctor kuwa nina tatizo kwenye mfumo wa umeng'enyaji chakula, chakula hakimeng'enywi inavyotakiwa, nikapewa dawa tatizo hilo...
Nisiwachoshe, mimi ni mwathirika wa ukimwi, niligundua muda tu, sasa kutokana na zile post za yule jamaa kwamba dawa ndio zinaenda kukimaliza nikamfata yeye, sijawahi kutumia ARV, nikawa tu najitahidi kula vizuri.
Nilihakikisha nakula milo mingi zaid na matunda na maji mengi, bwana wee hapa...
A. alaykum, za leo ndugu zangu?
Naombeni msaada wenu, mimi nataka nifunge Android redio kwenye gari pamoja na zile Tv za nyuma ya siti lakini nashindwa kujua kampuni ipi ni bora na ipi ni fake, nimejaribu kwenda kariakoo nimepita kuuliza zinacheza kwenye laki na nusu hadi laki na 80.
Nikija...
Pole sana. Tatizo lako ndio kama langu, mimi niliambiwa hiyo ni bawasiri. Nikaenda kununua dawa ya asili ya kunywa na kupaka kwa dada mmoja yupo insta anajiita @aasm_products anauza dawa za bawasiri. Nimeanza kutumia sasa ni week ya pili maendeleo naona mazuri
Ila sijawahi kupata ugonjwa nikateseka kama hivi jamani tangu nizaliwe, yaaani nimeteseka jamani Kama ni mtihani Mungu kanipa jamani namuomba aniondoshee, au kama kuna sehem nimemkufuru ndio akaamua kuniadhibu basi Allah aniswamehe, yaaani sina raha na maisha, [emoji24]
Wakubwa ahsanteni kwa woote mlionishauri, jana jioni nilirudi tena hospital nikajieleza kama hapa. Nikaandikiwa dawa ya kulainisha choo inaitwa Osmolax, nikaanza kutumia jana ileile kwakweli nashukuru Mungu jana jioni na leo asubuhi nimepuu vizuuri sana, tena jana ndio kabla sijachuchumaa mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.