WANARUDISHA BUNGE LIVE KWA MBINDE
CHAMA cha Mapinduzi na Serikali yao hivi sasa wako kwenye Mvutano mkali kwa kipindi cha Wiki nzima na zaidi, kuhusiana na uamuzi wa kurejesha "Bunge Live" kwa Wananchi.
Viongozi wa CCM wanatoa hoja Vikaoni kwamba; Wabunge wake hawaonekani kwa Wananchi na...
unajua ninyi ccm mnadanganyana sana? ujinga kwenu ndo issue. Mbowe hawezi kufanya upuuzi huo labda mtengeneze kimemo chenu najua kikosi cha Bashite mdo kazi yake ila mtafeli vibaya kama mlivyofeli kumuua Lissu Leo mnaumbuka kweupe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.