Wadau nahitaji msaada wa kupata beat zingine ambazo zote zilikuwa kwenye album hii zilitumika Sana kwenye masherehe miaka ya 95 hadi 2000 zote zilikuwa ni beat tu, nimebahatika kupata moja tu ambayo ndiyo hiyo mnaisikia, naomba ambae nazifahu nanisaidie wapendwa..hata kama ni jina la album...
Natafuta Kuna instruments fulani hivi zilitumika Sana kwenye masherehe na maharusi ni za south kama sikosei, alubam nzima ilikuwa ni instruments tu.. saxphone, guitar, kinanda ndiyo vimetumika kwenye hizo instruments..nawatoto walicheza Sana kama shoo za masherehe mbalimbali..zilitoka mia ya...
Wadau kwema? Mnisaidie Kuna instruments fulani, za south Africa zilitumika Sana kwenye maharusi zaman miaka ya 1990 Hadi 1998 Hadi 2000. Watu walizitumia Sana kwenye maharusi na watoto walikuwa wakizicheza kama shoo kwenye maharusi au sherehe.. saxophone, guitar na kinanda ndiyo vilitumika Sana...
Kaka naweza kupata na wimbo wa hip hop wa zamani miaka hiyo hiyo ya 2001, 2002, had 2005, "jamaa Anaitwa Jango man kama sikosei, sauti kama ya Dazi baba kiitikio ni Tulia Tulia nami Suzzy nataka uwe wangu Mimi Suzzy wamekwisha sema mpaka wamechoka penzi letu halitoweza vunjika.." baadhi ya...
Wadau huo wimbo wa "maisha ya mjini ni ujanja ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopa, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja"..jamaa anaimba kuwa kaenda kutafuta kazi mjini lakini akawa anashangazwa na tabia za mjini...nisaidien tafadharini nautafuta Sana ulichezwa Sana radio one miaka ya 2002...
Wadau huo wimbo wa "maisha ya mjini ni ujanja ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopa, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja"..jamaa anaimba kuwa kaenda kutafuta maisha mjini lakini akawa anashangazwa na tabia za mjini...nisaidien tafadharini nautafuta Sana ulichezwa Sana radio one miaka ya...
"maisha ya mjini wanasema ni ujanja, ukishuka kwenye meli wanakuita mshamba, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja, ukishuka kwenye basi wanakuita mshamba na ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopaaa " hicho ni kiitikio Cha wimbo mmoja ulitoka miaka ya 2001, 2002, 2003 jamaa alienda mjini...
Kuna wimbo fulani jamaa animba kaenda mjini kutafuta kazi watu wakawa wanamshangaa nakumuona mshamba, baadhi ya mistari yake anamba hivi "maisha ya mjini wanasema ujanja, ukishuka kwenye gari wanakuita mjanja, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja, ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopaaa"...
Yan naitafuta Sana broo, pia Kuna ule wimbo jamaa animba kwa huruma kaenda kutafuta kazi mjini..baadhi ya mistari yake anamba hivi " maisha ya mjini wanasema ujanja, ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopa, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja" ni wimbo wakitambo Sana nadhani miaka ya 2001
Wenyewe kabisa aisee 🙏
Kuna wimbo mwingine aliimba msanii wa Mwanza kashirikiana na juma nature wanainba" popote uendako maisha magumu, wengine wanalala mitaloni, wengine wakula majalalani" kama unaufahamu naomba msaada aisee nimeukumbuka pia..
Asante sana Garfield ndiyo wenyewe aisee!!! Duh!! Nimekumbuka mbali Sana Hadi machozi yananitoka nikitambo Sana nimekumbuka Mambo mengi Sana kupitia wimbo huu!!! Aisee Asante sana mdau!! 🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.