Ulitakiwa ujue kwa undani impact ya hao wanywa viroba,hapo umemaanisha wasio na kazi ama shughuli maalum km matamko flan yaliyowahi kutolewa,kwa taarifa yako tu hao wako 70% na km unategemea mtaji wa wasomi au wenye kazi utampata nani kwa hizo 30%????,watu wanajua na wanafanya kwa mipango,kauli...
Ni swala la wakati tu,tusubiri na kuona kwani naona kama ni movie ndo kwanza iko scene ya kwanza,its a time for hard decision Mr x PM,nyuma yake kuna jeshi kubwa hao waliojitokeza ni kidogo sana,,Time ll tell...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.